Oke Akpoveta
Oke Akpoveta (alizaliwa 13 Desemba 1991)[1][2] ni mchezaji wa kandanda wa Nigeria ambaye nafasi yake ni mshambuliaji.
Kazi
Akpoveta alitia saini mkataba wa miaka minne na klabu ya Brøndby katika Superliga ya Denmark mnamo tarehe 9 Agosti 2011. Alianza uchezaji wake katika klabu hiyo kwa mara ya kwanza mnamo Agosti 28 dhidi ya klabu ya FC Midtjylland.
Marejeo
Viungo Vya Nje
- Oke Akpoveta katika Fotbolltransfers.com (kwa Kiswidi)
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Oke Akpoveta kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino