Kinyore
(Elekezwa kutoka Olunyole)
Kinyore (au Olunyole) ni lugha ya Kibantu nchini Kenya inayozungumzwa na Wanyore, kabila moja la Waluyia. Ni lugha tofauti na Kinyole nchini Uganda. Mwaka wa 2009 idadi ya wasemaji wa Kinyore imehesabiwa kuwa watu 311,000. Kufuatana na uainishaji wa lugha za Kibantu wa Malcolm Guthrie Kinyore iko katika kundi la E30.
Viungo vya nje
- lugha ya Kinyore kwenye Multitree
- makala za OLAC kuhusu Kinyore
- lugha ya Kinyore katika Glottolog
- http://www.ethnologue.com/language/nyd
Makala hii kuhusu mambo ya lugha bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Kinyore kama historia yake, uenezi au maendeleo yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino