Rennes
Rennes ndiyo mji mkuu katika mkoa la Bretagne. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2012, mji una wakazi wapatao 690,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 30 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Rennes | |
Mahali pa mji wa Rennes katika Ufaransa | |
Majiranukta: 48°6′53″N 1°40′46″W / 48.11472°N 1.67944°W | |
Nchi | Ufaransa |
---|---|
Mkoa | Bretagne |
Wilaya | Ille-et-Vilaine |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 209,613 |
Tovuti: www.rennes.fr |
Historia
Jiografia
Elimu
- Chuo Kikuu cha Rennes 1
- Chuo Kikuu cha Rennes 2 - Haute Bretagne
Viungo vya nje
- Rennes Airport
- (Kifaransa) Tovuti rasmi Archived 30 Juni 2007 at the Wayback Machine.
- Parlement de Bretagne Archived 9 Machi 2021 at the Wayback Machine.
- Rennes travel guide kutoka Wikisafiri
- Rennes improvisation theatre Archived 24 Septemba 2005 at the Wayback Machine.
- Colors of Rennes - photoblog - Maps
- Rennes in Pictures
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Rennes kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz