Sajjad Fazel
Mwanasayansi
Sajjad Sherally Fazel (amezaliwa Mei 14, 1991) ni mfamasia wa Kliniki Tanzania, mwandishi wa makala za afya na mwanzilishi wa Afya Yako, juhudi ya kwanza nchini Tanzania ya kustawisha afya ya umma kwa intaneti.[1][2][3]
Elimu
Mwaka 2009 alimaliza Haven of Peace Academy Archived 15 Agosti 2020 at the Wayback Machine..
Rasmi mwanzoni mwa mwaka 2015 aliweza kuwa Daktari wa Famasia kutoka Manipal Academy of Higher Education.
Mnamo mwaka 2018 alipata Shahada ya pili katika kitivo cha Afya ya Jamii "Master of Public Health" kutoka University of Western Ontario.
Marejeo
Makala hii kuhusu mwanasayansi fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Sajjad Fazel kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino