Samuel García
Samuel Garcia Cabrera (alizaliwa 4 Desemba 1991) ni mwanariadha wa Hisipania aliyejikita kwenye mbio ya mita 400.[1] Aliliwakilisha taifa lake kwenye mbio fupi za mita 4 x 400 kwenye Mashindano ya Ubingwa wa Dunia mwaka 2013 na alishinda medali ya Shaba kwenye Mashindano ya Ubingwa wa Ulaya mwaka 2018. Mafanikio yake bora mpaka sasa ni nafasi ya saba kwenye Ubingwa wa Ulaya 2014.
Rekodi yake bora kwenye mita 400 ni sekunde 45.00 nje(Monachil 7 Julai 2017) na sekunde 46.35 ndani (Salamanca 2017).
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino