Taifa
Taifa ni kundi lolote la binadamu lenye utamaduni wake maalumu na mapokeo yake katika historia ya eneo fulani. Mara nyingi umoja wake unategemea pia lugha.
Kila mojawapo lina haki ya kujitambua hivyo na kuhamasisha mshikamano kati ya watu wanaoliunda hata kujipatia uhuru wa kisiasa walau kwa kiasi fulani.
Katika Kilatini linatumika neno natio linalotokana na nasci ("kuzaliwa").
Katika ngazi ya chini tunakuta kundi linaloitwa kabila.
Marejeo
- Anderson, Benedict (1983). Imagined Communities. London: Verso Publications.
- Gellner, Ernest (1983). Nations and Nationalism. Cambridge: Blackwell.
- James, Paul (1996). Nation Formation: Towards a Theory of Abstract Community. London: Sage Publications.
- James, Paul (2006). Globalism, Nationalism, Tribalism: Bringing Theory Back In —Volume 2 of Towards a Theory of Abstract Community. London: Sage Publications.
- Smith, Anthony (1986). The Ethnic Origins of Nations. London: Blackwell.
Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz