Tuamotu

Tuamotu ni funguvisiwa la Polinesia ya Kifaransa. Kiko upande wa kaskazini-mashariki wa kisiwa cha Tahiti. Ni funguvisiwa kubwa kabisa duniani. Mwaka wa 2002, idadi ya watu visiwani imehesabiwa kuwa 15,862. Watu wakaao visiwani kwa Tuamotu huongea Kituamotu na Kitahiti.

Ramani ya Tuamotu

Visiwa ndani ya funguvisiwa

Funguvisiwa ya Tuamotu ina makundi manane ya visiwa yafutayo:

Makala hii kuhusu eneo fulani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu eneo hilo kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Je, unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.


Usitaje majina ya madiwani na viongozi au maafisa wengine wa sasa maana wanabadilika haraka mno.