Ngedere
(Elekezwa kutoka Tumbili)
Ngedere | ||||||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Ngedere mashariki (Chlorocebus pygerythrus) | ||||||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||||||
| ||||||||||||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||||||||||||
Spishi 6:
|
Ngedere au tumbili ni aina za kima wa jenasi Chlorocebus katika familia Cercopithecidae. Wanatokea Afrika kusini kwa Sahara, lakini spishi kadhaa zimewasilishwa katika sehemu nyingine za dunia.
Spishi
- Chlorocebus aethiops, Ngedere Habeshi (Grivet)
- Chlorocebus cynosuros, Ngedere wa Kongo (Malbrouck Monkey)
- Chlorocebus djamdjamensis, Ngedere wa Bale (Bale Monkey)
- Chlorocebus pygerythrus, Ngedere Mashariki (Vervet)
- Chlorocebus sabaeus, Ngedere Magharibi (Green Monkey)
- Chlorocebus tantalus, Ngedere wa Afrika ya Kati (Tantalus Monkey)
Picha
- Ngedere Habeshi
- Ngedere wa Kongo
- Ngedere mashariki
- Ngedere magharibi
Ili kupata maelezo kuhusu masanduku ya uanapwa ya spishi angalia: Wikipedia:WikiProject Mammals/Article templates/doc.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino