Ukiki
Ndege wakubwa kiasi wa jenasi Ceuthmochares, familia Cuculidae
Ukiki | ||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Ukiki kijani | ||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||
| ||||||||||||||
Ngazi za chini | ||||||||||||||
Spishi 2
|
Ukiki au pundamakaa ni ndege wakubwa kiasi wa jenasi Ceuthmochares katika nusufamilia Phaenicophaeinae ya familia Cuculidae wanaofanana na kekeo. Wana mnasaba na malkoha wa Asia. Wanatokea misitu wa Afrika kusini kwa Sahara. Rangi yao ni buluu au kijani na wana domo njano (kwa sababu ya hii huitwa yellowbill kwa Kiingereza). Hula wadudu wakubwa hasa lakini konokono, vertebrata wadogo, matunda na mbegu pia. Kinyume na kekeo hutengeneza tago lao lenyewe katika mti. Jike hutaga mayai meupe mawili.
Spishi
- Ceuthmocharis aereus, Ukiki Buluu (Chattering yellowbill)
- Ceuthmocharis a. aereus, Ukiki buluu
- Ceuthmocharis a. flavirostris, Ukiki Magharibi
- Ceuthmocharis australis, Ukiki Kijani (Whistling yellowbill)
Picha
- Ukiki buluu
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino