Ukonfusio

Ukonfusio ni mtazamo kuhusu maadili, siasa na falsafa ambao ulianzishwa na Konfusio (Kǒng Fūzǐ, or K'ung-fu-tzu, lit. "Master Kong", 551 KK478 KK) huko China.

Mafundisho yake yalielekea kwanza siasa, lakini baadaye yalijihusisha na falsafa, hata pengine yanahesabiwa kuwa ya dini.

Baadaye mafundisho hayo yakawa rasmi nchini hadi mwanzo wa Jamhuri ya China na Jamhuri ya Watu wa China katika karne ya 20.

Nchi nyingine zilizoathiriwa sana ni Korea, Japan, Vietnam na Singapore.

Marejeo

  •  
  •  
  •  
  • Creel, Herrlee G. Confucius and the Chinese Way. Reprint. New York: Harper Torchbooks. (Originally published under the title Confucius—the Man and the Myth.)
  • Fingarette, Herbert. Confucius: The Secular as Sacred ISBN 1-57766-010-2.
  •  
  • Ivanhoe, Philip J. Confucian Moral Self Cultivation. 2nd rev. ed., Indianapolis: Hackett Publishing.
  • Nivison, David S. The Ways of Confucianism. Chicago: Open Court Press..
  •  
  • Xinzhong Yao (2000) An Introduction to Confucianism. Cambridge: Cambridge University Press.
  •  

Tafsiri ya maandishi yanayotazamwa kuwa ya Confucius

  • Confucian Analects (1893) Translated by James Legge.
  • The Analects of Confucius (1915; rpr. NY: Paragon, 1968). Translated by William Edward Soothill.
  • The Analects of Confucius: A Philosophical Translation (New York: Ballantine, 1998). Translated by Roger T. Ames, Henry Rosemont.
  • The Original Analects: Sayings of Confucius and His Successors (New York: Columbia University Press, 1998). Translated by E. Bruce Brooks, A. Taeko Brooks.
  • The Analects of Confucius (New York: W.W. Norton, 1997). Translated by Simon Leys
  • Analects: With Selections from Traditional Commentaries (Indianapolis: Hackett Publishing, 2003). Translated by Edward Slingerland.

Viungo vya nje

Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.