Uzalishaji

Uzalishaji (kutoka kitenzi kuzaa, kilichonyambulishwa kuwa kuzalisha) ni mchakato wa kutumia akili, ujuzi n.k. ili kufanya mali na vitu kwa jumla viongezeke kulingana na mahitaji ya binadamu, kuanzia chakula[1] The area of economics that focuses on production is referred to as production theory, which in many respects is similar to the consumption (or consumer) theory in economics.[2], badala ya kutarajia viwatoshe daima kama ilivyo katika maisha ya wawindaji-wakusanyaji wanaoendeleza utamaduni wa watu wa kale hadi miaka 10,000 hivi iliyopita.

Mavuno ya ngano kwa vifaa vya kisasa yanawatimizia wengi mahitaji ya chakula.

Ndipo wengine walipoanza shughuli za ufugaji na kilimo zilizosababisha ustaarabu uliozidi kustawi na kuenea duniani kote pamoja na namna nyingi za uchumi.

Tanbihi

Marejeo

Marejeo mengine

Viungo vya nje

  • Elmer G. Wiens: Production Functions - Models of the Cobb-Douglas, C.E.S., Trans-Log, and Diewert Production Functions.
Makala hii kuhusu mambo ya uchumi bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Uzalishaji kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.