Wawindaji-wakusanyaji
Wawindaji-wakusanyaji ni jina wanalopewa makundi ya watu wanaoishi bila kuzalisha chakula chao kwa njia ufugaji na kilimo kama ilivyozidi kuwa kawaida ya wengi tangu uzalishaji huo ulipoanza milenia kumi na mbili iliyopita[1].
Kwa kusongwa na wafugaji na wakulima, mara nyingi wawindaji-wakusanyaji wameishia katika maeneo yasiyofaa kwa uzalishaji, wanapoishi kwa kuhamahama, na wametazamwa na kudharauliwa kama watu wasioendelea, ingawa wanaweza kuwazidi wengine kwa maadili[2][3][4][5][6][7][8]
Kwa sababu ya kujali usawa kati yao, Karl Marx aliita mtindo wao wa kuishi Ukomunisti wa awali.[9]
Matarajio ya kuishi ni kufikia kwa wastani umri wa miaka 21-37 tu[10].
Kati ya makabila ya Afrika yaliyo maarufu kwa mtindo huo wa maisha wapo Wahadza wa mkoa wa Singida, Tanzania.
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
- media kuhusu Hunter-gatherers pa Wikimedia Commons
- The Association of Foragers: An international association for teachers of hunter-gatherer skills.
- A wiki dedicated to the scientific study of the diversity of foraging societies without recreating myths
- Balmer, Yves (2013). "Ethnological videos clips. Living or recently extinct traditional tribal groups and their origins". Andaman Association. Ilihifadhi kwenye nyaraka kutoka chanzo mnamo January 11, 2014. Check date values in:
|archivedate=
(help)
Makala hii kuhusu mambo ya utamaduni bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Wawindaji-wakusanyaji kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |