Nenda kwa yaliyomo

Kiseyeye

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru

Kiseyeye (pia: hijabu; kwa Kiingereza scurvy) ni ugonjwa unaosababishwa na uhaba wa vitamini C mwilini. Dalili zake ni pamoja na kutokea kwa madoa kwenye ngozi. Meno yanaanza kuchezacheza na kupotea. Watu wanaweza kutokwa na damu mdomoni na puani. Viungo vya mwili huuma. Mgonjwa atakuwa dhaifu.

Zamani kiseyeye kilikuwa ugonjwa hasa wa mabaharia waliokaa muda mrefu kwenye maji bila kula matunda au chanzo kingine cha vitamini C. Kabla ya kugundua kwamba akiba ya limau ni dawa njema mabaharia wengi walikufa kutokana na kiseyeye[1].

Picha za dalili za kiseyeyehariri chanzo

Marejeohariri chanzo

Viungo vya njehariri chanzo

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Simple English Wiktionary
Simple English Wiktionary
Wikamusi ya Kiswahili ina maelezo na tafsiri ya maana ya neno:
  • "Scurvy (Scorbutus)". The Encyclopaedia Britannica; A Dictionary of Arts, Sciences, Literature and General Information. Juz. XXIV (SAINTE-CLAIRE DEVILLE to SHUTTLE) (toleo la 11th). Cambridge, England and New York: At the University Press. 1911. uk. 517. Iliwekwa mnamo 22 Oktoba 2018 – kutoka Internet Archive.{{cite book}}: CS1 maint: date auto-translated (link)
Makala hii kuhusu mambo ya tiba bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Kiseyeye kama sababu yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino