Nenda kwa yaliyomo

Korentino

Kutoka Wikipedia, kamusi elezo huru
Picha takatifu ya kisasa.

Korentino (375 hivi - 12 Desemba 453), kadiri ya mapokeo, alikuwa askofu wa Quimper (Bretagne.

Habari zake zinapatikana katika Maisha ya Mtakatifu Korentino yaliyoandikwa miaka 1220-1235.

Baada ya kuwa mkaapweke huko Plomodiern, mfalme Gradlon aliamua kuanzisha jimbo huko Quimper akamteua Korentino awe askofu wa kwanza. Hivyo akamtuma Tours apewe daraja takatifu na Martino.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 12 Desemba[1].

Tazama piahariri chanzo

Tanbihihariri chanzo

Marejeohariri chanzo

Viungo vya njehariri chanzo

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz