Watakatifu wa Agano la Kale
Danieli
Watakatifu wa Agano la Kale ni watu walioishi kabla ya Kristo ambao wanaheshimiwa na Wakristo wengi, na pengine na Waislamu n.k.
Baadhi yao ni:
- Abeli
- Abrahamu
- Adamu
- Amosi
- Ana (mama wa Samweli)
- Aroni
- Ayubu
- Baruku
- Daudi
- Eleazari
- Eleazari mfiadini
- Elisha
- Elia
- Eva
- Ezekieli
- Ezra
- Gideoni
- Habakuki
- Hagai
- Henoko
- Hezekia
- Hosea
- Isaka
- Isaya
- Malaki
- Melkisedek
- Mika
- Musa
- Nahumu
- Nathani
- Nuhu
- Obadia
- Raheli
- Rebeka
- Ruthu
- Samweli
- Sara
- Sefania
- Shemaya
- Wayahudi saba na mama yao
- Yakobo Israeli
- Yeremia
- Yoeli
- Yona
- Yosefu (babu)
- Yoshua
- Zekaria
Tazama pia
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz