1519
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 15 |Karne ya 16| Karne ya 17| ►
◄ |Miaka ya 1480 |Miaka ya 1490 |Miaka ya 1500 |Miaka ya 1510| Miaka ya 1520| Miaka ya 1530| Miaka ya 1540| ►
◄◄ |◄ |1515 |1516 |1517 |1518 |1519| 1520| 1521| 1522| 1523| ►| ►►
Makala hii inahusu mwaka 1519 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 4 Machi - Hernan Cortes anafika Mexiko.
- 28 Juni - Mfalme Carlos I wa Hispania amekuwa Kaisari wa Dola Takatifu la Roma akitawala kama Karolo V hadi 1556.
- 4 Julai - Martin Luther anapinga mamlaka ya Papa katika majadiliano yake na Yohane Eck mjini Leipzig (Ujerumani)
- 8 Novemba - Hernan Cortez anafika Tenochtitlan (Mexiko) akipokelewa kama mungu. Atachoma mji na kuijenga upya kama Mji wa Mexiko.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliofariki
- 12 Januari - Kaisari Maximilian I wa Ujerumani
- 2 Mei - Leonardo da Vinci, mchoraji na mwanasayansi kutoka Italia
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz