Adalberto wa Egmond
Adalberto wa Egmond, O.S.B. (alifariki Egmond, Uholanzi, 710 hivi) alikuwa mmonaki Mbenedikto shemasi kutoka Northumbria (Uingereza) aliyefanya umisionari kwa miaka 20 katika Frisia ya leo, akiwa pamoja na Wilibrodi na wengineo[1].
Anaheshimiwa tangu zamani kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Utopia article
- Life of Adalbert, website of Egmond Abbey, in Dutch
- Detailed consideration of the legend and relics of Adelbert, in Dutch
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz