Aliaa Magda Elmahdy
Mwanaharakati wa haki za wanawake nchini Misri
Aliaa Magda Elmahdy (kiarabu cha Misri: علياء ماجدة المهدي, IPA: [ʕælˈjæːʔ ˈmæɡdæ (ʔe)lˈmæhdi, ˈʕæljæ-]; alizaliwa Novemba 16, 1991 ) Ni mwanaharakati wa mtandao na mtetezi wa haki za wanawake wa Misri. Alijulikana kwa kuchapisha picha za uchi katika ukurasa wake kwenye mtandao[1][2] wa FAcebook. Ambayo aliielezea facebook kuhusu "unyanyapaaji dhidi ya jamii, ubaguzi wa rangi. ubaguzi wa kijinsia,unyanyasaji wa ngono na unafiki katika jamii"[3]
Aluaa Magda Elmahdy | |
Nchi | Misri |
---|---|
Kazi yake | Mwanaharakati wa mtandao |
Marejeo
Makala hii kuhusu mtu huyo bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Aliaa Magda Elmahdy kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino