Alipius wa Thagaste
Alipius wa Thagaste alikuwa askofu wa Tagaste (leo nchini Algeria) mwaka 394. Inasemekana ndiye wa kwanza kujenga monasteri sehemu hiyo ya Afrika.
Kwa muda mrefu sana alikuwa rafiki wa Augustino wa Hippo akaungana naye katika kuongokea Kanisa Katoliki (386; Confessions 8.12.28) na katika maisha ya kiroho.
Karibu yote tunayoyajua juu yake yanatokana na kitabu cha Augustino juu ya maisha yake mwenyewe Maungamo (Confessiones).
Papa Gregori XIII alimtangaza mtakatifu mwaka 1584[2] .
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Rotelle O.S.A., John. Book of Augustinian Saints (Augustinian Press, Villanova University, 2000)
Viungo vya nje
- Information on Saints Alypius and Possidius
- Catholic Encyclopedia entry on Saint Alypius
- St. Alypius - Midwest Augustinians
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz