Amatori wa Auxerre
Amatori wa Auxerre (kwa Kifaransa: Amadour au Amatre; alifariki Auxerre, leo nchini Ufaransa, 1 Mei 418) alikuwa askofu wa mji huo kuanzia mwaka 388 hadi kifo chake.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Maisha
Amatori alisoma teolojia chini ya Valeriani wa Auxerre, lakini wazazi walimshinikiza kuoa. Hata hivyo alikubaliana na mke wake kuishi kama kaka na dada.
Baadaye mkewe alijiunga na umonaki, naye alijiunga na kleri[3] na hatimaye akawa askofu kwa miaka 30 akijitahidi kung'oa ushirikina na kueneza heshima kwa wafiadini[4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saint of the Day, May 1: Amator Archived 21 Desemba 2010 at the Wayback Machine.
- Cathédrale Saint-Étienne (Image of St. Amadour)
- Procesión de San Amador, patrón de Martos (Jaén), el 5 de Mayo de 2006
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz