Amenze Aighewi
mchezaji wa mpira wa miguu
Amenze
Amenze Aighewi
Jinsia | mwanamke |
---|---|
Nchi ya uraia | Nigeria |
Nchi anayoitumikia | Nigeria |
Tarehe ya kuzaliwa | 21 Novemba 1991 |
Mahali alipozaliwa | Nigeria |
Lugha zinazozungumzwa, zilizoandikwa au zilizotiwa sahihi | Kiingereza, Nigerian Pidgin, Kiigbo |
Kazi | association football player |
Nafasi anayocheza kwenye timu | Forward (association football) |
Mwanachama wa timu ya michezo | Rivers Angels F.C. |
Mchezo | Mpira wa miguu |
Aighewi
Amenze Aighewi (alizaliwa 21 Novemba 1991) ni mchezaji wa mpira wa miguu wa nchini Nigeria ambaye alicheza kama mshambuliaji wa klabu ya wanawake ya Rivers Angels na timu ya taifa ya wanawake ya Nigeria. Alikuwa mmoja kati ya wachezaji wa timu iliyocheza Kombe la Dunia la FIFA la 2011. [1][2]
Marejeo
{{reflist}
Makala hii kuhusu mchezaji mpira fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Amenze Aighewi kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoShairiJumuiya ya Afrika MasharikiUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaFasihi simuliziNembo ya TanzaniaMshororoMikoa ya TanzaniaVivumishiOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoPentekosteAina za manenoTanzaniaKamusi za KiswahiliMfumo wa mmeng'enyo wa chakulaOrodha ya makabila ya TanzaniaAfrika Mashariki 1800-1845Orodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUpendo Furaha PenezaMafurikoMisimu (lugha)KumaKisaweSentensiDiamond PlatnumzKamusi ya Kiswahili sanifuKamusiMisemoMaudhuiSimba S.C.Ukwapi na utaoTanganyikaOrodha ya Watakatifu WakristoNgeliLahaja za KiswahiliMaumivu ya kiunoRoho MtakatifuNomino