Andeoli
Andeoli (alifariki Bergoiata, Viviers, 208) alikuwa Mkristo kutoka Smirna (leo nchini Uturuki) aliyefanua umisionari huko Galia (leo Ufaransa) hadi alipouawa wakati wa dhuluma ya kaisari Septimius Severus.
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Maisha
Andeoli alizaliwa Smirna katika karne ya 2. Akiwa shemasi, alitumwa na askofu Polikarpo,[2] kuinjilisha Galia Kusini pamoja na Benignus.
Kati ya waliowaongoa, mmojawao ni Sinforiani wa Autun, baadaye mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz