Ansberto wa Rouen
Ansberto wa Rouen (pia: Auedebati, Autbati, Autbertus; Chaussy-sur-Epte, leo nchini Ufaransa, karne ya 7 – Hautmont, 695 hivi) alikuwa askofu wa Rouen (Ufaransa) miaka 683 - 690.
Baada ya kushika vyeo vikubwa katika ikulu alijiunga na monasteri chini ya kanuni ya Kolumbani na miaka sita baadaye akawa abati. Hatimaye alifanywa askofu hadi alipoondolewa na Meya wa ikulu akarudia maisha ya monasterini[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Februari.[2]
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz