Ansovini
Ansovini wa Camerino (karne ya 9 - 13 Machi 868) anakumbukwa kama askofu wa Camerino (Italia ya Kati) kuanzia mwaka 850 hadi kifo chake[1].
Alipenda kuleta amani na kusaidia maskini[2].
Kipindi fulani baada ya upadrisho alikuwa ameishi kama mkaapweke.
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saints of March 13: Ansovinus of Camerino Archived 29 Desemba 2019 at the Wayback Machine.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz