Antidi wa Besancon
Antidi wa Besancon (alifariki karibu na Besancon, Ufaransa, 470 hivi) alikuwa askofu wa 15 wa mji huo.
Aliuawa na Wagerumanik, inasemekana kwa hukumu iliyotolewa na Kroko, mfalme wa Wavandali [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- (Kifaransa) Louis Duchesne, Fastes épiscopaux de l'ancienne Gaule, vol. III, Paris 1915, pp. 198-212
- (Kifaransa) Gustave Bardy, Recherches sur un cycle hagiographique. Les martyrs de Chrocus, in «Revue d'histoire de l'Église de France», tome 21, n°90, 1935, pp. 10-12 e 22-25
- Charles Vens, Antido, vescovo di Besançon, santo e martire, in «Bibliotheca Sanctorum», vol. II, coll. 56-57
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz