Augustino Roscelli
Augustino Roscelli (Bargone, Casarza Ligure, 27 Julai 1818 – Genova, Liguria, 7 Mei 1902) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki kutoka Italia Kaskazini[1].
Alianzisha shirika la kitawa la Masista wa Imakulata limsaidie kukabili matatizo ya jamii hasa upande wa malezi ya watoto na wanawake[2].
Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kwanza mwenye heri tarehe 7 Mei 1995, halafu mtakatifu tarehe 10 Juni 2001[3].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- SQPN - Saint Agostino Roscelli
- Saint of the Day - Saint Agostino Roscelli Archived 21 Desemba 2016 at the Wayback Machine.
- Artist Denys Savchenko Archived 6 Mei 2021 at the Wayback Machine.
- (Kiitalia) Vatican Archives
- (Kiitalia) Institute of Sisters of the Immaculata
- Agostino Roscelli - The priest who saved boys from a life of crime and girls from prostitution Archived 23 Septemba 2015 at the Wayback Machine.
- Butler's Lives of the Saints - Saint Augustine Roscelli
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz