Ausenti abati
Ausenti abati (Syria[1], karne ya 5 - Mlima Skopa[2], Bitinia, leo nchini Uturuki, 14 Februari 473) alikuwa askari mlinzi wa kaisari Theodosi II aliyekwenda kuishi kama mkaapweke akawa abati aliyetetea imani sahihi ya mtaguso wa Kalsedonia[3].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 14 Februari[4].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Patron Saints Index at Catholic Forum
- http://www.santiebeati.it/dettaglio/92724
- http://www.catholic.org/saints/saint.php?saint_id=1639
- http://saints.sqpn.com/saint-auxentius-of-bithynia/
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz