Austregesili
Austregesili (pia: Austregisilus, Outrille, Aoustrille; 551 hivi - 11 Septemba 624 hivi) anakumbukwa kama askofu wa Bourges (Ufaransa) kuanzia mwaka 612 hadi kifo chake.
Baada ya kufanya kazi katika ikulu, alikwenda kujiunga na monasteri akawa abati hadi alipoteuliwa kuwa askofu.
Hapo alionyesha upendo wa pekee kwa maskini, mayatima, wagonjwa na waliohukumiwa kufa[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saint of the Day, May 20: Austregisilus of Bourges at SaintPatrickDC.org
- a translation of the Life of Austregisilus
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz