Avignon
Avignon ni mji wa Ufaransa kusini.
Avignon | |
Mahali pa mji wa Avignon katika Ufaransa | |
Majiranukta: 43°57′0″N 4°49′01″E / 43.95000°N 4.81694°E | |
Nchi | Ufaransa |
---|---|
Mkoa | Provence-Alpes-Côte d'Azur |
Wilaya | Vaucluse |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 92,454 |
Tovuti: www.avignon.fr |
Katika historia unakumbukwa hasa kwa sababu katika miaka 1309-1377 Mapapa saba walikuwa na makao yao huko badala ya kuishi mjini Roma.
Katika miaka 1348-1791 Papa alikuwa ndiye mtawala wa mji huo.
Kwa sababu hizo, mwaka 1995 kiini cha mji huo kimetangazwa mahali pa Urithi wa Dunia.
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Marejeo mengine
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Avignon travel guide kutoka Wikisafiri
- Tourist office website Archived 23 Aprili 2017 at the Wayback Machine.
- City council website Archived 11 Februari 2007 at the Wayback Machine.
- Avignon theatre festival website (Kifaransa)
- Avignon greater metropolitan area website Archived 5 Februari 2017 at the Wayback Machine. (Kifaransa)
- Avignon on the 1750 Cassini Map
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Avignon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |