Baha'i
Imani ya Bahá'í (kwa Kiparsi |بهائی.) ni dini inayofundisha kuabudu Mungu pekee.
Mwanzilishi wake alikuwa Baha'ullah huko Uajemi, (leo Iran) katika karne ya 19, aliyesisitiza umoja wa kiroho wa binadamu wote.[1]
Leo wafuasi wa dini hiyo duniani kote ni kati ya milioni 5 na 6.[2][3]
Katika imani ya Bahá'í, historia inatazamwa kama mfululizo wa wajumbe wa Mungu walioanzisha dini mbalimbali kadiri ya mahitaji ya wakati na watu. Kati yao kuna Abrahamu, Buddha, Yesu, Muhammad na wengineo.
Hatimaye walitokea Báb na Bahá'u'lláh kukamilisha yote ili kuleta amani, haki na umoja.[4]
Tanbihi
Makala hii kuhusu mambo ya dini bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu mada hii kama historia yake au uenezi wake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz