Bahari ya Ufilipino
Bahari ya Ufilipino ni bahari ya pembeni ya Bahari Pasifiki iliyopo upande wa mashariki wa Ufilipino na Taiwan. Bahari ya Ufilipino imepakana na Japani upande wa kaskazini, Visiwa vya Mariana upande wa mashariki na Kisiwa cha Palau upande wa kusini. Eneo lake ni takribani kilomita za mraba milioni 5.
Jiolojia
Kijiolojia iko juu ya bamba la gandunia la Ufilipino. [1]
Mifereji mirefu zaidi duniani inapatikana katika eneo hilo ambayo ni Mfereji wa Mariana na Mfereji wa Ufilipino.
Marejeo
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz