Bamba la Ulaya-Asia
Bamba la Ulaya-Asia ni bamba la gandunia kubwa katika ganda la dunia. Inabeba sehemu kubwa ya bara za Ulaya na Asia isipokuwa Bara Hindi na mashariki mwa Siberia si sehemu zake. Kwa lugha nyingine inawezekana kusema inabeba Eurasia.
Limepakana na bamba la Amerika Kaskazini, bamba la Australia, bamba la Uhindi, bamba la Uarabuni na bamba la Afrika.
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz