Benedikta Cambiagio Frassinello
Benedikta Cambiagio Frassinello (Langasco, Genova, 2 Oktoba 1791 - Ronco Scrivia, Genova, 21 Machi 1858) alikuwa mwanamke wa Italia kaskazini ambaye, baada ya kuolewa, aliamua pamoja na mume wake kushika maisha ya kitawa na hatimaye alianzisha shirika la Masista Wabenedikto wa Maongozi ya Mungu kwa ajili ya malezi ya wasichana fukara na wasio na familia [1][2].
Papa Yohane Paulo II alimtangaza mwenye heri tarehe 10 Mei 1987 na mtakatifu tarehe 19 Mei 2002.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz