Berlinda
Berlinda (pia: Berlindis, Berlenda, Berelenda, Bellaude; alifariki 702) alikuwa binti mtemi aliyepata kuwa mmonaki Mbenedikto na hatimaye mkaapweke akiishi mjini Meerbeke (leo nchini Ubelgiji) kwa ufukara na upendo.
Tangu kale ameheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake ni tarehe 3 Februari[1].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Van Droogenbroeck, F. J., 'Paltsgraaf Wigerik van Lotharingen, inspiratiebron voor de legendarische graaf Witger in de Vita Gudilae', Eigen Schoon en De Brabander 93 (2010) 113–136.
- Van Droogenbroeck, F. J., 'Hugo van Lobbes (1033-1053), auteur van de Vita Amalbergae viduae, Vita S. Reinildis en Vita S. Berlendis', Eigen Schoon en De Brabander 94 (2011) 367–402.
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz