Busia, Kenya
Busia ni mji wa Kenya Magharibi, makao makuu ya kaunti ya Busia[1].
Kwa maana nyingine, tazama Busia (maana).
Busia | |
Mahali pa mji wa Busia katika Kenya | |
Majiranukta: 0°27′50″N 34°06′08″E / 0.46389°N 34.10222°E | |
Nchi | Kenya |
---|---|
Kaunti | Busia |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 51,981 |
Kadiri ya sensa ya mwaka 2009, mji ulikuwa na wakazi 51,981, na hivyo kuwa mkubwa kuliko yote ya kaunti[2].
Tazama pia
Tanbihi
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz