2009
Lango la Historia | Lango la Biografia | Karibuni | Orodha ya Miaka
◄ |Karne ya 20 |Karne ya 21
◄ |Miaka ya 1970 |Miaka ya 1980 |Miaka ya 1990 |Miaka ya 2000| Miaka ya 2010
◄◄ |◄ |2005 |2006 |2007 |2008 |2009| 2010| 2011| 2012| 2013| ►| ►►
Jan.| Feb.| Mac.| Apr.| Mei| Jun.| Jul.| Ago.| Sep.| Okt.| Nov.| Des.
Makala hii inahusu mwaka 2009 BK (Baada ya Kristo).
Matukio
- 20 Januari - Barack Obama ametawazwa kama Rais wa 44 wa Marekani, akiwa Rais wa kwanza kuwa Mweusi.
Waliozaliwa
Kalenda ya Gregori | 2024 MMXXIV |
Kalenda ya Kiyahudi | 5784 – 5785 |
Ab urbe condita (Roma ya Kale) | 2777 |
Kalenda ya Ethiopia | 2016 – 2017 |
Kalenda ya Kiarmenia | 1473 ԹՎ ՌՆՀԳ |
Kalenda ya Kiislamu | 1446 – 1447 |
Kalenda ya Kiajemi | 1402 – 1403 |
Kalenda za Kihindu | |
- Vikram Samvat | 2079 – 2080 |
- Shaka Samvat | 1946 – 1947 |
- Kali Yuga | 5125 – 5126 |
Kalenda ya Kichina | 4720 – 4721 癸卯 – 甲辰 |
Waliofariki
- 12 Januari - Susanne Wenger, msanii kutoka Austria na kuhani wa Wayoruba nchini Nigeria
- 13 Januari - W. D. Snodgrass, mshairi kutoka Marekani
- 27 Januari - John Updike, mwandishi kutoka Marekani
- 30 Januari - Chedieli Yohane Mgonja, mwanasiasa wa Tanzania
- 28 Machi - Maurice Jarre, mwanamuziki kutoka Ufaransa
- 31 Machi - Raúl Alfonsín, rais wa Argentina (1983-1989)
- 21 Aprili - Santha Rama Rau, mwandishi kutoka Uhindi
- 24 Aprili - Phares Kashemeza Kabuye, mwanasiasa kutoka Tanzania
- 19 Mei - Robert Furchgott, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1998
- 8 Juni - Omar Bongo, Rais wa Gabon (1967-2009)
- 25 Juni - Michael Jackson, mwimbaji kutoka Marekani
- 28 Juni - Billy Mays, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 1 Agosti - Corazon Aquino, Rais mwanamke wa Ufilipino (1986-1992)
- 18 Agosti - Kim Tae Jung, Rais wa Korea Kusini (1998-2003)
- 14 Septemba - Patrick Swayze, mwigizaji wa filamu kutoka Marekani
- 8 Novemba - Vitali Ginzburg, mwanafizikia kutoka Urusi, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Fizikia mwaka wa 2003
- 20 Desemba - Brittany Murphy, mwigizaji na mwimbaji kutoka Marekani
- 21 Desemba - Edwin Krebs, mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Tiba mwaka wa 1992
- 26 Desemba - Dennis Brutus, mwandishi kutoka Afrika Kusini
- 30 Desemba - George Miok, mwanajeshi wa Kanada
- 31 Desemba - Rashidi Kawawa, mwanasiasa kutoka Tanzania
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz