Cuiabá
Cuiabá ni jina la mji mkuu wa jimbo la Mato Grosso katika Brazil. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2000, mji una wakazi wapatao 550,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 165 kutoka juu ya usawa wa bahari.
Cuiabá | |
Majiranukta: 15°35′45″S 56°05′49″W / 15.59583°S 56.09694°W | |
Nchi | Brazil |
---|---|
Kanda | Central-West |
Jimbo | Mato Grosso |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 542,861 |
Tovuti: www.cuiaba.mt.gov.br |
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu maeneo ya Brazil bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Cuiabá kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz