Dasio wa Silistra
Dasio wa Silistra (alifariki Silistra, Mesia, leo nchini Bulgaria, 20 Novemba 303) alikuwa askari Mkristo wa Durostoro aliyekatwa kichwa kwa ajili ya imani yake katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano [1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini[2].
Sikukuu yake ni tarehe 20 Novemba[3].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Renate Pillinger (ed., trans.), Das Martyrium des Heiligen Dasius, Vienna (1988), ISBN|978-3-7001-1514-4.
- Valentina Drumeva,Разкази за българските светии и за светиите, свързани с България ("Stories of Bulgarian saints and of saints associated with Bulgaria"), part I, Zograf Monastery, 2005.
- I. Duychev, G. Tsankova-Petkova et al., Гръцки извори за българската история (ГИБИ, "Greek sources for Bulgarian history") vol. 3, Bulgarian Academy of Sciences, Sofia 1960.
Viungo vya nje
- Catholic Online
- Dorostolum / Dristra Archived 2013-02-17 at Archive.today
- (Kibulgaria) Св. Дасий Доростолски (Дазий Доростолски)
- (Kibulgaria) Венцислав Каравълчев, Разказ за живота на св. Дасий Доростолски Archived 15 Desemba 2018 at the Wayback Machine. (2010)
- (Kibulgaria) Иван Костадинов, Дасий (2012)
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz