Diomede wa Nisea
Diomede wa Nisea (Tarso, Kilikia, leo nchini Uturuki, karne ya 3 - Nisea, Bitinia, leo nchini Uturuki, 303 hivi) alikuwa mganga Mkristo ambaye kwa imani yake hiyo aliuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiorthodoksi kama mtakatifu mfiadini[2].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- Saint of the Day, August 16: Diomedes of Tarsus Archived 25 Februari 2020 at the Wayback Machine. at SaintPatrickDC.org
- Diomedes the Physician & Martyr of Tarsus
- St. Diomedes, Holy Doctor/Martyr, fresco from 19th century. The King Milutin's church of the Hilandar Monastery on Mt. Athos
- Troparia and Kontakia: August 16, Diomedes
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz