Dionysius Mwareopago
Dionysius Mwareopago (kwa Kigiriki Διονύσιος ὁ Ἀρεοπαγίτης; alifariki 95 hivi) alikuwa askofu wa kwanza wa Athene, Ugiriki[1].
Umaarufu wake umetokana na Mdo 17:34 kusimulia kwamba alikuwa kati ya wachache waliosadiki hotuba aliyoitoa Mtume Paulo katika Areopago kuhusu Kristo na ufufuko.
Umaarufu uliongezeka baada ya mwanafalsafa asiyejulikana kutoka Siria kuandika vitabu mbalimbali akitumia jina la Dyonisius huyo mwanzoni mwa karne ya 6.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Owen Gingerich, The Book Nobody Read, Penguin Books, 2004, pp. 190–191
Viungo vya nje
- Hieromartyr Dionysius the Areopagite the Bishop of Athens Orthodox icon and synaxarion
- The Holy Hieromartyr Dionysius the Areopagite Archived 4 Machi 2012 at the Wayback Machine. entry from the Prologue from Ochrid by Nikolaj Velimirović
- A Translation of Grimm's Saga No. 439 about Saint Dionysius and King Dagobert Archived 2 Mei 2010 at the Wayback Machine.
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Dionysius Mwareopago kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz