Dioskoro I wa Aleksandria
Dioskoro I wa Aleksandria (alifariki mnamo Septemba 454) kuanzia mwaka 444 hadi kifo chake alikuwa Patriarki wa Aleksandria (Misri) na Papa wa 25 wa Kanisa la Wakopti ambalo linamheshimu kama mtakatifu pamoja na Waorthodoksi wa Mashariki wengine.
Kumbe Mtaguso wa Kalsedonia (451) ulikuwa umemuondoa madarakani hivi kwamba alifariki uhamishoni.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 4 Septemba.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz