Edbati wa Lindisfarne
Edbati wa Lindisfarne (jina asili: Eadberht; alifariki 6 Mei 698) alikuwa mmonaki, halafu askofu wa Lindisfarne kuanzia mwaka 688 hadi kifo chake.
Mwanafunzi wa Cuthbert wa Lindisfarne, alikuwa maarufu kwa ujuzi wa Biblia, utekelezaji wa amri za Mungu na hasa kwa ukarimu wake kwa maskini[1].
Hata baada ya kupewa uaskofu alitumia muda wa kutosha katika kimya na sala pamoja na kushika ufukara.
Tangu kale anaadhimishwa na Wakatoliki[2] na Waorthodoksi[3] kama mtakatifu, hasa tarehe aliyofariki dunia.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Fryde, E. B.; Greenway, D. E.; Porter, S.; Roy, I. (1996). Handbook of British Chronology (toleo la Third revised). Cambridge, UK: Cambridge University Press. ISBN 0-521-56350-X.
Viungo vya nje
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz