Eligius wa Noyon
Eligius wa Noyon (kwa Kifaransa: Éloi; Chaptelat, Aquitaine, 588 hivi – Noyon, 1 Desemba 660) alikuwa sonara halafu mshauri mkuu wa mfalme wa Ufaransa Dagobert I.
Miaka mitatu baada ya kifo cha mfalme huyo, alichaguliwa kuwa askofu wa Noyon-Tournai (642). Hapo kwa miaka ishirini alijitahidi kufanya wakazi Wapagani wa Flandria waongokee Ukristo[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
- Audoeno, Vita Eligii in Monumenta Germaniae Historica, Scriptores rerum Merovingicarum, IV, 2, 635 seq., Ed. Bruno Krusch, Hannover, 1902.
- Peter Berghaus, Knut Schäferdiek, Hayo Vierck: Eligius von Noyon. In: Reallexikon der Germanischen Altertumskunde (RGA). 2ª edizione, vol. 7, Walter de Gruyter, Berlin/New York 1989, pp. 145–159. ISBN 3-11-011445-3.
Viungo vya nje
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
- Ouen's Vita, written by his friend, housemate and companion Dado, Audoin (bishop), who was high among the optimates at the Frankish court
- Patron Saints Index: Saint Eligius
- Saint Eligius at the Christian Iconography web site
- "The Life of St. Loye" from the Caxton translation of the Golden Legend
- The Life of St. Eligius by Dado of Rouen, tr. Jo Ann McNamara
- Light in the dark places, Chapter on St. Eligius, Prof. Augustus Neander, 1851.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz