Erik IX

Erik IX (kwa Kiswidi: Erik Jedvardsson; Erik den helige; Sankt Erik; 1120-1125 hivi - Uppsala, Uswidi, 18 Mei 1160) alikuwa mfalme wa Uswidi kuanzia mwaka 1156 hivi hadi kifo chake[1]. Ndiye wa kwanza katika ukoo wake wa kifalme uliotawala hadi mwaka 1250.

Mt. Erick IX.

Aliongoza kwa busara na kutetea haki za wanawake.

Alijitahidi pia kuinjilisha Ufini, ambao wakazi wake walikuwa bado Wapagani, kwa kumtuma huko askofu Erik wa Ufini [2][3].

Hatimaye aliuawa akiwa anashiriki Misa[4].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Walutheri[5] kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[6].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

  • Carl M. Kjellberg, "Erik den heliges ättlingar och tronpretendenter bland dem", Historisk tidskrift 43, 1923.
  • Christian Lovén, "Erikskulten i Uppsala - dubbelhelgonet och den långa stationsvägen", Årsboken Uppland 2004.
  • Svenskt biografiskt lexikon, band 14.
  • Bengt Thordeman (ed.), Erik den helige - historia, kult, reliker. Stockholm, 1954.
  • Lauritz Weibull, "Erik den Helige", in Stockholms blodbad och andra kritiska undersökningar. Stockholm, 1965.
  • Henrik Ågren, Erik den helige - Landsfader eller beläte? En rikspatrons öde i svensk historieskrivning från reformationen till och med upplysningen, 2013.

Viungo vya nje

Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.