Erkonvaldi
Erkonvaldi (kwa Kiingereza: Earconwald, Ercenwald, Erkenwald; Lindsey[1], karne ya 7 - monasteri ya Barking, 30 Aprili 693) alikuwa askofu wa London, Uingereza, kuanzia mwaka 675[2] akawa mwanzilishi wa monasteri mbili za Kibenedikto[3][1][4]. Ile ya kike iliongozwa na dada yake, Etelburga, ila ya kiume iliongozwa naye mwenyewe[5].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa na Wakatoliki na Waanglikana tarehe ya kifo chake[6].
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz