Eufrasia wa Thebe
(Elekezwa kutoka Eufrasia wa Konstantinopoli)
Eufrasia wa Thebe (380 - 13 Machi 410) alikuwa bikira Mkristo ambaye, baada ya kuacha maisha ya familia yake ya kisharifu huko Konstantinopoli, aliishi peke yake jangwani Misri kwa unyenyekevu, ufukara na utiifu[1].
Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu na Wakatoliki, Waorthodoksi na Waorthodoksi wa Mashariki.
Sikukuu yake inaadhimishwa hasa tarehe 24 Julai[2] au 25 Julai.
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- EWTN Library: St. Euphrasia, Virgin Archived 9 Novemba 2016 at the Wayback Machine.
- Catholic Encyclopedia: St. Euphrasia
- Lives of the Saints, March 13: Saint Euphrasia
- St. Euphrasia Hagiography
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz