Eugeni wa Toledo
Eugeni wa Toledo (alifariki Toledo, Hispania, 13 Novemba 657) alikuwa shemasi mkuu, halafu mmonaki na hatimaye askofu mkuu wa Toledo kuanzia mwaka 647[1][2].
Alijitahidi kuboresha liturujia ya Toledo upande wa nyimbo[3]. Pia aliandika mashairi na mengineyo[4].
Tangu zamani anaheshimiwa kama mtakatifu.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe ya kifo chake[5].
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
- Jacques Sirmond, Opera (Venice, 1728), II, 610;
- Patrologia Latina, LXXXVII, 347-418;
- Ferrara, History of Spain, ad ann. 647-658;
- Gams, Kirchengesch. Spaniens (1874), II, 2, 132-35;
- Michaud, Biog. Univ. (Paris, 1826).
Viungo vya nje
- Catholic Encyclopedia article
- San Eugenio obispo, martirología y hagiografía.
- «Lamentum de adventu propriae senectutis»
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz