Eulalia wa Merida

Eulalia wa Merida (Merida, Hispania, 292 - Merida, 304) alikuwa bikira anayeheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mwenye sifa ya mfiadini pia[1].

Mt Eulalia alivyochorwa na John William Waterhouse, 1885, Tate collection.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 10 Desemba[2].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

  • Blackburn and Holford-Strevens: Oxford Book of Days, entry for 10 December

Viungo vya nje

Makala hii bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari.