Eutikyo wa Konstantinopoli
Eutikyo wa Konstantinopoli (Theium, Frigia[1], leo nchini Uturuki, 512 hivi - Konstantinopoli, leo nchini Uturuki, 5 Aprili 582[2]) alikuwa Patriarki wa mji huo kuanzia mwaka 552 hadi 565 halafu tena kutoka mwaka 577 hadi kifo chake kilichompata akiwa anakiri ufufuo wa wafu. Katikati alipelekwa uhamishoni kwa kutetea kwa nguvu imani sahihi[3].
Alisimamia Mtaguso wa pili wa Konstantinopoli (553).
Maandishi yake machache yametufikia[4]
Anaheshimiwa tangu kale kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz