Fereolo wa Vienne
Fereolo wa Vienne (alifariki Vienne, leo nchini Ufaransa, 303) alikuwa akida Mkristo aliyeuawa kwa imani yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Sikukuu yake ni tarehe 18 Septemba[2].
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
- (Kifaransa) Régis De La Haye, Qui a introduit le culte de saint Ferréol et de saint Julien à Moissac ? Archived 3 Machi 2016 at the Wayback Machine., Bulletin de la Société Archéologique et Historique de Tarn-&-Garonne;
- (Kifaransa) DORY Franck, Saint Ferréol martyr, de Vienne au pays catalan, Archéo66, Bulletin de l'AAPO, Perpignan,27,2012, p. 81-84.
Makala hii bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mkristo huyu, kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake? Je, unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuiongezea habari. |
🔥 Top keywords: Maalum:TafutaMwanzoFasihi simuliziAina za manenoShairiVivumishiMikoa ya TanzaniaOrodha ya makabila ya TanzaniaOrodha ya Mawaziri Wakuu wa TanzaniaUfahamu wa uwezo wa kushika mimbaLughaOrodha ya mikoa ya Tanzania kwa eneoKamusi za KiswahiliMofimuFasihiNembo ya TanzaniaMawasilianoSentensiMarie AntoinetteKamusiMange KimambiKumaViwakilishiAlama ya uakifishajiKitenziFani (fasihi)TamthiliaVitendawiliNominoKiswahiliMaudhuiSilabiTanzaniaJumuiya ya Afrika MasharikiKisaweVieleziYoung Africans S.C.Kiwakilishi nafsiDiamond Platnumz